Karibu katika Mfuko wa Pensheni wa Tumaini

Mfuko wa Pensheni wa Tumaini upo kwaajili ya Wachungaji

Karibu tukuhudumie


Mfuko wa Mafao wa Tumaini (TPF) upo kwa ajili ya kukuhudumia wewe Mchungaji wa kanisa la Tanzania Assemblies of God.

Rev. Dr. Mtokambali

Askofu Mkuu wa TAG

MAONO

Kuwa Mfuko wa mfano kwa mifuko mingine ya ziada nchini

DHIMA

Kutoa huduma bora ya hifadhi ya jamii kwa watumishi kwa kuzingatia misingi ya imani ya kanisa

MAADILI

Uwazi, Uaminifu, Uadilifu, Uwajibikaji, Ubunifu, Kufanya kazi kwa kushirikiana na Huduma kwa wakati

Tumaini Pension fund

Mfuko wa Pensheni wa Tumaini

Mfuko wa Penshen wa Tumaini (TPF - Tumaini Pension Fund) ulianzishwa mnamo tarehe 1/1/2019 na kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) ili kutoa huduma za hifadhi ya jamii kwa watumushi wake yaani wachungaji na wamishenari. soma zaidi

Wasiliana nasi

Je una maoni au swali kuhusu Mfuko wetu, tafadhali wasiliana nasi.

+255 757 547 731
Matukio na Habari

Matukio ya Hivi karibuni

02
2021 May

All you want to know about inds

A small river named Duden flows by their place and supplies

Soma zaidi

02
2021 May

Part 2s

Number 2 A small river named Duden flows

Soma zaidi

Miaka 13 ya Moto wa Uamsho, Tunamtaka Bwana na Nguvu zake